CHELSEA NA TOTTENHAM, ARSENAL NA MAN CITY; NUSU FAINALI KOMBE LA FA



Arsenal watakuwa wanacheza nusu fainali Kombe la FA kwa mara ya 29
Nusu fainali zote mbili zitachezewa Wembley wikendi ya 22 na 23.
Chelsea walifuzu kwa kuwafunga Manchester United 1-0 Jumatatu.
Spurs walifika nusu fainali kwa kulaza Millwall 6-0 Jumapili.
Arsenal, ambao walishinda kombe hilo 2014 na 2015 waliwalemea Lincoln City 5-0 Jumamosi.
Manchester City ambao wanacheza nusu fainali kwa mara ya kwanza katika misimu minne, walifuzu kwa kulaza Middlesbrough 2-0 ugenini.

Matokeo ya mechi ambazo ziliwahi kupigwa kati ya timu hizo zitakazokutana nusu fainali za kombe la FA


Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment