
Kauli hio imekuja mara baada Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) kutoa siku 14 kwa wadaiwa sugu likiwamo Shirika la Umeme Zanzibar(ZECO) kuhakikisha wanalipa madeni yao.
Kaimu mkurugenzi wa Shirika hilo, Tito Mwinuka amesema mpaka sasa wanadai bilioni 275 na kwamba wadaiwa hao wasipolipa watakatiwa umeme.
0 comments:
Post a Comment