Rais wa Zimbabwe
Robert Mugabe amebadili muonekano wa kichwa chake baada ya kuamua kunyoa
nywele zake tofauri na ambavyo wengi wamezoea kumuona kwa muda mrefu katika
nyadhifa yake ya urais wa nchi ya Zimbabwe.
Rais Mugabe akiwa katika
muonekano mpya baada ya kupunguza nywele na masharubu yake
|
Rais huyo alionekana katika hali hiyo mpya iliyowashangaza wengi alipohudhuria mazishi ya mwanajeshi wa zamani wa nchi hiyo, na inasemekana kwamba mtindo huo mpya wa unyoaji unaweza kuwa ni wa mara ya kwanza kwake tangu amekuwa rais wa nchi.
Baadhi yao wamesema
mtindo huo wa unyoaji kwa kupunguza nywele na masharubu umemfanya rais huyo
kuoneakana kijana na kuvita zaidi watumiaji wa mitandao ya kijamii.
Rais Mugabe kabla ya kupunguza
nywele na masharubu yake
|
0 comments:
Post a Comment