Malmaka ya mapato Tanzania
walilikamata gari ambalo lilikuwa limewabeba wachezaji wa timu ya taifa ya
vijana, Serengeti Boys walipokujwa wakielekea nyumbani kwa Mama Samia Suluhu
Hassan ambako walipata mualiko wa chakula cha jioni.
Gari hilo ambalo lilitumika
kuwabeba wachezaji hao lilichukuliwa na kampuni ya Yono Auction kutokana na
deni ambalo TFF inadaiwa na mamlaka ya mapato Tanzania TRA.
0 comments:
Post a Comment