MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU KUONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KUAGA MIILI YA WANAFUNZI 32

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza mamia ya waombolezaji kuaga miili ya marehemu siku ya Jumatatu Mei  8 saa mbili Asubuhi katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha.
Shughuli hiyo ya uagaji miili hiyo ya wanafunzi wa darasa la saba wa Shule ya msingi nay a awali ya Lucky Vicent  kufuatia ajali iliyotokea jana Mei 7 2017 mkoani Arusha. Tayari taasisi, watu na serikali ikiwemo ya Kenya na Zanzibar wametuma salamu zao za pole na rambirambi kwa mkuu wa mkoa wa Arusha kwa kupoteza vijana na nguvukazi ya nchi. 


Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment