Waziri wa Habari, Sanaa,
Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Harysson Mwakyembe amewapongeza vijana wa timu
ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys, walimu na viongozi
wao kwa ushindi wa magoli mawili kwa moja dhudu ya Angola katika mchezo
uliochezwa jana jioni nchini Gabon.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment