ALICHOKIANDIKA NAPE BAADA YA NAFASI YAKE YA UWAZIRI KUWEKWA DKT. MWAKYEMBE

Leo mapema Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika baraza lake la mawaziri ambapo, nafasi aliyokuwa akishikilia Nape Nnauye, aliyekuwa waziri wa Habari, sanaa, utamaduni na Michezo kujazwa na Dkt. Harryson Mwakyembe ambaye alikuwa waziri wa katiba na Sheria, huku nafasi hiyo ya wzara ya katiba na sheria ikijazwa na Prof. Palamagamba Aidan Kabudi.

Mabadiliko h7yo yameukea masaa machache baada ya aliyekuwa waziri wa Habari, sanaa, utamaduni na Michezo kuiwasilisha ripoti ya uvamizi wa kituo cha habari cha Clouds Media Group ambapo tippri hiyo iligundua mambo kadhaa ambayo RC Makonda alikwenda kinyume nayo kwa kufanya kitendo hiko.

Nape nnauye aliandika haya katika ukurasa wake wa Twitter juu ya suala hilo:

Na hii ndio barua ya taarifa ya mabadiliko hayo madogo yaliyofanywa leo na Eais Magufuli;

Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment