WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA SAMAKI NA CHA UTENGENEZAJI MELI NCHINI MOURITIUS

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Bibi Veroniqu Gorrioch kuhusu utengeneza na ukarabatiwa meli, pantoni na boti wakati alipotembelea kiwanda cha kutengeneza na kukarabati meli, pantoni na boti cha Contier Naval Del' Oceaniindien Limited (CNO 1 Company Limited) cha Mauritius

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitazama makasha yenye minofu ya samaki wakati alipotembelea kiwanda cha samaki cha MER Des Mascareignes nchini Mouritius Machi 21. Wa pili kulia ni waziri wa fedha wa Zanzibar Dkt. Khalid Salum Mohammed



Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment