HOTELI YACHOMWA MOTO KENYA


Huko nchini Kenya katika eneo la Laikipia, hoteli moja ya kifahari inayomilikiwa na Kuki Galimann ambaye ni mwandishi wa vitabu imechomwa moto na watu wanaodhani kuwa ni wafugaji.

Taarifa zinasema kwamba wakati moto huo unatokea hakukuwa na mtu ndani ya hoteli hiyo


Ukiachana na tukio hili la kuchomwa moto kwa hoteli hiyo ya MUKUTAN, taarifa za siku kadhaa zinasema kwamba polisi waliripotiwa kuwaua kwa risasi ng’ombe takriban mia moja katika shamba linalomilikiwa na mmiliki wa Hoteli hiyo iliyochomwa moto Bi Gallman,
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment