MAKONTENA 262 YENYE MCHANGA WA DHAHABU YAGUNDULIKA BANDARI KAVU KURASINI

TPA imebaini makontena mengine 262 yenye mchanga wa dhahabu yaliyokuwa yamehifadhiwa bandari kavu ya MOFED (zamani ZAMCARGO) Kurasini.
 

Mkurugenzi Mkuu TPA, Deusdedit Kakoko asema makontena yalikuwa hatua za mwisho kukamilisha taratibu za kiforodha kusafirishwa nje ya nchi
Makontena yote yalikuwa na lakiri (seals) za TRA, yalikuwa yanashughulikiwa na kampuni ya usafirishaji ya Freight Forwarders Tanzania Ltd

Orodha ya makontena hayo yaliyobainika inaonesha yalifika bandarini hapo katika nyakati tofauti kutoka migodi ya Buzwagi na Pange Mines

Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment