PROF. MUHONGO AZINDUA REA (III) MKOANI IRINGA


Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Dkt Gideon Kaunda akizungumza na Wananchi wakati wa Hafla  ya uzinduzi wa mradi wa usambazaji umeme vijijini Awamu ya Tatu (REA III) katika mkoa wa Iringa uliofanyika katika kijiji cha Image wilayani Kilolo. Kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.

Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-hanga (wa kwanza kulia), Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa pili kulia), Mbunge wa Kilolo, Mhe.Venance Mwamoto (wa tatu kulia) wakisoma maombi ya wananchi ya kuunganishiwa umeme katika Mradi wa usambazaji umeme vijijini Awamu ya Tatu,  wakati wa Hafla ya uzinduzi wa mradi wa usambazaji umeme vijijini Awamu ya Tatu (REA III) katika mkoa wa Iringa uliofanyika katika kijiji cha Image wilayani Kilolo.

 Ninaamini nimetumia akili yangu yote, nguvu na uwezo wangu wote nilioweza kuwatumikia niko hapa kuwashukuru kwa dhati ya moyo wangu uzinduzi wa mradi wa usambazaji umeme vijijini Awamu ya Tatu (REA III) katika mkoa wa Iringa uliofanyika katika kijiji cha Image wilayani Kilolo.


Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa tatu kuli mstari wa nyuma) pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuzindua mradi wa usambazaji umeme vijijini Awamu ya Tatu (REA III) katika mkoa wa Iringa. Wa nne kulia ni Mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-hanga na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya  Nishati Vijijini, Dkt Gideon Kaunda. Waliosimama mbele ni Wanafunzi wa Sekondari ya Wasichana wa Jamii ya Kimasai wilayani Kilolo.

Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment