RAIS MAGUFULI ATEMBELEA UJENZI WA IKULU MPYA CHAMWINO

Taarifa Kutoka Ikulu imesema kuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo ametembelea eneo la ujenzi wa Ikulu  kwenye makao makuu ya nchi Chamwino Mkoani Dodoma na kuwahakikishia wananchi kuwa anahamia Dodoma hivi karibuni kama alivyoahidi.



Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment