WANAJESHI WA SUDANI KUSINI WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA UBAKAJI

Afisa mkuu wa jeshi la Sudani kusini amesema wanajeshi watatu wanatuhumiwa kwa makosa ya ubakaji na tayari wamekamatwa. Vikosi vya kijeshi vya waasi na serikali vimekuwa vikishutumiwa kufanya uhalifu wa kivita mara kadhaa nchini humo.


Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment