WATUMISHI 45 WENYE VYETI FEKI MOI KUONDOLEWA KAZINI



Kaimu mkurugenzi mtendaji wa kitendp cha Tiba ya Mifupa (MOI), Dkt. Othman Kiloloma amesema kipo katika mchakato wa kupunguza wafanyakazi  45 waliokutwa na vyeti feki. Akizungumza mbele ya kamati ya bunge ya huduma za jamii alisema pia taasisi hiyo ina upungufu wa fedha kutokana na serikali kushindwa kutoa ruzuku ya Sh, Bilioni 4.8 zilizokuwa zikitolewa kwa mwaka wa 2016/2017


Alisema kutokana na tatizo hilo imekuwa vigumu kwao kujiendesha kwani kitengo kinatumia Sh. Bilioni 20.6 kwa mwaka kwa ajili ya kununulia vifaa tiba pekee, wakati huo huo asilimia 70 ya wagonjwa wakitibiwa kwa msamaha
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment