BIASHARA YA PEMBE ZA NDOVU YARUHUSIWA


Huko nchini Afrika Kusini mahakama ya katiba imeipinga serikali pale ilipotaka kuweka katazo la uuzaji na ununuaji wa pembe za ndovu katika matumizi ya ndani ya nchi hiyo. Ambapo pembe za ndovu kwa sasa zimeruhusiwa kununuliwa na kuuzwa ndani ya nchi huku katazo likiwekwa kwa biashara za nje japo biashara hiyo inaendelea kimataifa.


Wahifadhi wa wanyama pori nchini humo hawakubaliani na hatua hiyo kwa kuwa inaweza kupunguza idadi ya ndovu wanaouawa japo pembe za ndovu zinaweza kukatwa na kuwaacha wanyama wakiwa hai.
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment