CHINA YAZINDUA MANOWARI YAKE YENYEWE

China imezinua Manowari yake ya kwanza walioitengeneza wenyewe yenye uwezo wa kubeba ndege za kivita ambapo meli hiyo ina uzani wa tani 50,000 lengo linaashiriwa kuwa ni kuimarisha jeshi la ulinzi la nchi hiyo kwa kuliongezea nguvujeshi lake la majini\Meli hiyo ambayo ndege zitaweza kuruka na kutua juu yake itaanza kufanya kazi rasmi mwaka 2020, China inamiliki meli kubwa aina ya Liaonong ya kubeba ndege ambayo ilinunuliwa kutoka Ukraine wakati wa muungano wa Usovieti. 

Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment