HUU NDIO MSIMAMO WA LIGI KUU UINGEREZA BAADA YA MECHI ZA LEO APRIL 30

Chelsea bado imeendelea kuongoza ligi kuu ya Uingereza huku Tottenham ikishika nafasi ya pili kwa jumla ya poinnti 77 baada ya kuichapa Arsenalbao Mbili bila.
Mechi nyingine ambazo zimechezwa leo ni pamoja na Manchester City dhidi ya Swansea ambao timu hizo mbili zietoa sare ya bao mojaa kwa moja, huku Everton ikiminyana na Chelsea ambapo Chelsea imeibuka na ushindi wa bao tatu bila, nao Manchester City ikikipigavna Middlebrough ambapo katika amechi hiyo ilishindikana ku[ata mshindi baada ya kutoka sare ya bao mbili kwa mbili na mchezo mwingine uliochezwa ni kati ya Tottenham na Arsenal ambapo Tottenham iliibuka na ushindi wa bao mbili bila.  


Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment