JOCKATE AVUNA WANACHAMA 680 MJINI DODOMA

Kaimu mkuu wa idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndg. Jokate Mwegelo amejivunia wanachama wapya 680 mjini Dodoma katika kata za Hombolo na Chang’ombe ambapo pia alipata nafasi ya kuzungumza na wanachama wa UVCCM katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) na baadae kukabidhi kadi kwa waachama hao wapya.

Jockate Mwegelo ambaye ni Kaimu wa Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM alipata nafasi ya kukutana na wenyeviti wa Umoja wa Wanawake wa kata ya Hombolo mjini,

Kaimu Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndg:Jokate Urban Mwengelo wa Nne kulia akiwasili kata ya Hombolo  alipokwenda kukabidhi kadi kwa wanachama wapya.
 Wanachama wapya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakila kiapo cha chama
Kaimu mkuuwa Idara ya Uhamasishaji a Chipukizi Ndg. Jokate Mwegelo akizungumza na wanachama wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Chuo Kikuu cha Dodoma

Kaimu mkuuwa Idara ya Uhamasishaji a Chipukizi Ndg. Jokate Mwegelo akizungumza na wanachama wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kata ya Chang’ombe mkoani Dodoma
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment