MATOKEO YA MECHI TATU ZILIZOCHEZWA JANA LIGI KUU UINGEREZA


Usiku wa jana Tarehe 27 April huko nchini Uingereza ligi kuu ya Uingereza imeendelea kurindima huku michezo mitatu ikichezwa usiku huo. Timu ya Arsenal ilikipiga dhidi ya Leicester City katika uwanja wa nyumbani wa Emirates na kufanikiwa kutwaa ushindi wa bao moja kwa ifuri dhidi ya Leicester City. Goli hilo lilipatikana baada ya veki wa timu ya Leicester City kujichanganya na kujikuta akiipatia bao hilo timu ya Rsebal kwa kujifunga.

Mchezo mwingine ambao ulichezwa kati ya Criystal Palce dhidi ya Tottenham Hotspur, mchezo huo ulichezwa katika uwanja wa nyumbani watimu ya Criystal Palce, Selhurst Park ambapo wenyeji hao walishindwa kutetea heshima yao wakiwa nyumbani kwa kufungwa goli moja kwa sifuri. Goli hilo la Spurs lilifungwa mnamo dakika ya 78 na mchezaji Christian Dannemann.


Sunderland wakiwa ugenini katika uwanja wa Riverside Stadium wa wpinzani wao Middlesbrough walijikuta wanaangukia pua baada ya kufunga goli moja kwa sifuri, ambao goli hilo la Middlesbrough lilifungwa na Marten de Roon katika dakika ya nane.
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment