Leo ndio leo, ile mechi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu
kati ya mahasimu wakubwa huko nchini Uingereza kuchezwa leo (Alhamis) ya April 27
katika uwanja wa Etihad, ambapo mpaka sasa Manchester City iko mbele kwa pointi 4
zaidi ya Manchester United japo timu hiyo imeonekana ikishuka daraja. Timu ya
Manchester United hivi sasa inashikilia jumla ya pointi 48 huku Manchester City
ikishikilia pointi 52.
Mara ya mwisho timu hizo mbili zilipokutana Marcus
Rashford aliipatia timu yake ya Manchester United ushindi wa goli moja kwa sifuri katika uwanja huo
huo wa Etihad katika msimu uliopita.
0 comments:
Post a Comment