RAIS MAGUFULI ANATARAJIWA KUPOKEA TAARIFA YA VYETI FEKI KESHO


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kesho tarehe 28 April 2017 atapokea taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti feki kwa watumishi wa Umma katika ukumbi wa Chimwaga mkoani Dodoma.
Taarifa hiyo itawasilishwa kwa Mhe. Rais Magufuli na waziri wa nchi ofisi ya rais na menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mheshimiwa Angela Kairuki ambapo zoezi hilo limechukua takribani miezi sita sasa tangu mwezi Oktoba mwaka 2016

Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment