NG'OLO KANTE ASHINDA TUZO YA MCHEZAJI BORA UINGEREZA

Kiungo mxhezeshaji wa Chelsea N’golo Kante ameshinda kuwa mchezaji bora wa mwaka wa chama cha wachezaji wa kulipwa nchini England PFA kwa msimu wa mwaka 2016-2017. Mchezaji huo amewashinda wachezaji wenzake wengine w ligi hiyo ikiwemo Eden Hazard, Romelu Lukaku, Hary Kane, Alex Sanches na Zlata Ibrahimovic ambao nao pia waliwania tuzo hiyo.
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora Ng’olo  Kante


Naye Kiungo wa Dele Alli wa Totttenham amejishindia tucho ya mchezaji bora chipukizi ikiwa ni mwaka wa pili mfululizo ambapo amewashinda wenzake Romelu  Lukaku, kipa wa Sunderland Jordan Pickford, Michael Kaene wa Burney na Leroy Sane wa Manchester City ambao walikuwa wakiwania tuzo ya mchezaji bora chipukizi wa Mwaka. 
Mshindi wa tuzo ya mchezaji chipukizi bora Dele Alli
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment