Orodha ya marefa
watakaochezesha fainali za AFCON imetolewa huku refa mtanzania Frank John Komba
akiwa kwenye orodha hiyo. Fainali za AFCON
U-17 zinatarajiwa kufanyika nchini Gabon mwezi May mwaka huu wa 2017
Mtanzania huyo amepata fursa ya kuwa kati ya marefa 29 watakaochezesha mechi hizo akiwa kama refa msaidizi.
0 comments:
Post a Comment