Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akipongezwa na na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Profesa
Rwekaza Mukandala wakati akielekea kuzindua majengo mapya ya mabweni ya
wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam eneo la Mlimani jijini Dar es salaaM
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akikagua baadhi ya mabweni baada ya kuzindua majengo mapya ya
mabweni ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam eneo la Mlimani jijini Dar
es salaam
|
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipongezwa na Waziri Mkuu
Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba baada ya kuzindua majengo mapya ya mabweni ya
wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam eneo la Mlimani jijini Dar es salaam.
Kulia ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Profesa Rwekaza Mukandala
|
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wakati wa sherehe za
kuzindua majengo mapya ya mabweni ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam
eneo la Mlimani jijini Dar es salaam.
|
0 comments:
Post a Comment