RAIA WATATU WA KIMAREKANI WASHIKILIWA NCHINI KOREA KASKAZINI


Korea kaskazini yamtia mbaroni rai wa Marekani , taarifa hizo zimetolewa na shirika la habari la Korea Kusini, raia huyo mwenye asili ya Kimarekani na Kikorea alikamatwa katika uwanja wa ndege wa Pyongyang alipokuwa akijaribu kuondoka Pyongyang.

Imeelezwa kwamba Mwanaume huyo aliwahi kuwa Mhadhiri huko nchini China katika chuo kikuu cha China Yanbian, pia aliwahi kuwa Korea Kaskazini kwa muda wa mwezi mmoja kwa shuhuli za uhisani. 
  

Raia wengine wawili wa Kimarekani wnashikiliwa nchini Korea Kaskazini
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment