RAIS WA SOMALIA MOHAMED ABDULLAHI AMETANGAZA VITA NA AL SHABAB


Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi ametangaza vita dhidi ya kundi hilo la wanamgambo wa Al shabab kufuatia shambulizi la kujitoa mhanga lililotokea karibu na jingo moja la serikali mjini Mogadishu na kusababisha vifo vya watu 7 pamoja na kuwateka nyara wafanyakazi ambao wanatoa misaafa katika nchi hiyo kutokana na kukabiliwa na ukame.

Pia Rais huyo amewataka wanamgambo wa Al Shabab kujisalimisha ili wapate mafunzo, ajira na elimu, rais huyo amewapa wanamgambo hao siku 60 kutekeleza agizo hilo.



Pia amesema aefanya mabadiliko katika maafisa wa vyeo vya juu wa ujasusi kwa lengo la kujiandaana vita dhidi ya wanamgambo hao, lakini pia imedaiwa ni kutokana namashambulizi ya mara kwa mara yanayotokea nchini Somalia hivy kuamua kuchukua tahadhari. 
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment