Msanii wa Muziki wa Hip Hop
Roma Mkatoliki na mwenzie Moni wamekamatwa na watu wasiofahamika ambao
walivamia studio za Tongwe Records usiku wa jana majira ya saa moja usiku, Pia
watu hao wasiofahamaka walimchukua kijana wa kazi, Compyuta pamoja na TV na
kuondoka navo kusikojulikana.
Taarifa hizo zilitolewa jana
na Mwanamuziki wa Hip Hop Profesa Jay jana muda mfupi baada ya kutokea kwa tukio
hilo, ambapo Profesa Jay aliandika taarifa hiyo kwenye ukurasa wake wa
Instagram.
0 comments:
Post a Comment