TANAPA YATOLEA UFAFANUZI WA TAARIFA YA MTU ALIYEJERUHIWA NA SIMBA


Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanania National Parks-TANAPA) imetolea ufafanuzi wa taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu majeruhi aliyejeruhiwa na Simba katika hifadhi ya Serengeti siku ya Jumamosi 22 April saa tisa usiku.
Ufafanuzi huo umesema kwamba aliyejeruhiwa si Mwalimu wa chuo cha Sinon kilichopo Temboni jijini Dar es salaam kama inavyosambaa kwenye mitandao ya kijamii, na kuwa aliyejeruhiwa ni Bw. Kilopa Samwel (46) ambaye ni mlinzi katika hifadhi hiyo ya Tarangire na siku ambayo amejeruhiwa Bw. Kilopa alikuwa kazini katika majukumu yake ya kila siku



Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment