Wizara ya ardhi imetoa mafunzo
kwa waandishi wa habari kuhusu kodi ya ardhi na majengo, mafunzo hayo
yamefanyika jijini Dar es salaam. Mafunzo hayo yametolewa na wizara hiyo kwa
kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa lengo la kuwafanya waandih7i wa
habari umuhimu wa kodi ya majengo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano kutoka wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi mboza
Lwandiko akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa mafunzo.
|
Afisa Ardhi kutoka wizara ya
Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Denis Masami akifafanua masuala muhimu ya
ardhi kwa waandishi wa Habari.
|
Afisa msaidizi wa huduma kwa
mlipa kodi Maya Magimba akitoa somo waandishi wa Habari juu ya umuhimu wa
kulipa kodi ya majengo na ardhi.
|
0 comments:
Post a Comment