WAATHIRIKA WA KIKE WA DAWA ZA KULEVYA WATENGWA ZAIDI


Ripoti inayohusiana na madawa ya kulevya na uhalifu ya mwaka 2016 iliyotolewa na Umoja wa Mataifa inaonesha kuwa wanawake walioathirika na dawa za kulevya na kuambukizwa virusi vya UKIMWI wamekuwa wakinyanyapaliwa na kutokuwa na usalama zaidi ukilinganisha na waathirika wa kiume.

Hapa Tanzania wanawake wengi wanaojihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya  ni wale walioshawishiwa kuingia katika lindi hilo na rafiki zao wa kiume, hadi kufikia hatua ya kushawishiwa kufanya biashara ya ukahaba na marafiki hao wa kiume.




Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment