Wanamgambo zaidi ya 50 wa Al
Shabab wauawa na jeshi la Kenya katika operesheni iliyofanywa kusini mwa
Somalia. Jeshi la Kenya limesema lilinasa shehena ya silaha na risasi na
kuharibu kabisa kambi ya wanamgambo hao katika Lower Juba,eneo la Badhaadhe.
Al Shabab wamekuwa wakifanya
mashambulizi ya mara kwa mara nchini Somalia, japo mpaka sasa kundi hilo
halijazungumza lolote juu ya shambulio hilo.
0 comments:
Post a Comment