HAMAR, KABILA AMBALO MWANAMKE KUCHAPWA BAKORA NI SADAKA

Kabila la Hamar linalopatikana Kusini Magharibi nchini Ethiopia waawake kuchapwa ni miongoni mwa sherehe kubwa ambazo zimekuwa zikifanyika kila mwaka kudumisha utamaduni huo ambapo wanaume huwachapa bakora wanawake hadi kuwaacha alama katika shemu za miili yao hususani mgongoni.



Watu wa kabila hilo wanaamini kwamba kufanya hivyo humfanya mwanamke kuonesha sadaka ambayo wanaitoa kwa wanaume lakini pia inadhihirisha uwezo wa mwanamke kimapenzi, na inaelezwa kwamba endapo mwanamke atafanya hivyo itakapofikia ki[indi cha shida atakuwa na uwezo wa kumuomba msaada mwanamume ambaye alimchapa viboko.
Share on Google Plus

About Unknown

1 comments: