Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amemteua Bw. Adolf Hyasinth
Mohondela Ndunguru kuwa naibu kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA),
ambapo uteuzi huo umeanza leo Mei 22 2017.
Kabla ya uteuzi
huo Bw. Adolf Ndunguru alikuwa kamishna wa sera katika wizara ya fedha na
mipango.
Bw. Adolf
anachukua nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Bw. Charles Kichere ambaye naye
aliteuliwa kuwa kamishna mkuu katika mamlaka hiyo.
0 comments:
Post a Comment