RAIS MAGUFULI AMTEUA KAMANDA SIRRO KUWA MKUU WA JESHI LA POLISI

IGP SIMON SIRRO

Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Kamanda wa Polisi Simon Sirro kuwa mkuu wa Jeshi la Polisi (Inspector General Police) leo Mei 28 2017, ambapo kabla ya uteuzi Kmanda Sirro alikuwa Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es salaam.
IGP Simon Sirro anachungua nafasi ya Ernest Mangu ambaye atapangiwa kazi nyingine.  


Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment