KABURI LA ALIYEKUWA MUME WAKE ZARI, DON IVAN KUFUKULIWA

Mahakama nchini Uganda imeamuru bneki kuu ya Uganda kufukua kaburi la aliyekuwa mume wa Zari Ivan Semwanga baada ya Benki kuu kuomba kufanywa hivyo kufuatia tukio lililotokea katika mazishi ya tajiri huy ambapo amatajiri wenzake walimwaga pesa ndani ya kaburi la Ivana kabla ya mwili wa Ivan kuzikwa.
Taarifa na Mahakama ya nchi hiyo inasema “The purposes of the said monies put into the grave were misused and there was wastage of public property thereby violating social and economic rights of other people”
Ni siku tatu zimepita tangu tukio hilo kutokea ambapo kundi la Rich Gang kufanya tukio hilo la kuchupa mipaka ya matumizi ya fedha. Benki kuu ya Uganda bado haijamalizana na Kundi hilo la Rich Gand na kuitaka vyombo vya dola viwachukulie hatua watu waliotupa hela kwenye kaburi la Ivan Ssemwanga.
Kaburi la Ivan Ssemwanga likiwa na Pesa zilizomwagwa na wenzake wa kundi la Rich Gand
Tamko la Mahakama la kuamuru Kaburi la Ivan Ssemwanga kufukuliwa 

Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment