MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA YAFUNGA OFISI ZA TFF

.

Habari zilizotufikia hivi punde.
Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) imezifungia ofisi za shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) leo na kuamrisha kuaacha kila kitu ndani, hali hiyo imefikiwa kufuatia deni kubwa la kodi wanalodaiwa Shirikisho hilo, Kampuni ya Yona Auction Mart kwa idhini waliyopewa na malka ya mapato Tanzania (TRA) walifikia katika ofisi hizo na kuwataka maofisa wa TFF kutoka nje na kuacha kila kitu kilichomo katika ofisi hzo.


Share on Google Plus

About Unknown

0 comments:

Post a Comment