Kilabu ya Singida United imeingia makubaliano na kocha wa
kimataifa kutoka nchini Uholanzi Hans Van Der Pluijm kuifua timu hiyo.
Kulingana na taarifa hiyo makubaliano hayo yanamhalalisha kocha huyo wa
kimataifa kuaznia leo Machi 17 2017 kuwa kocha mkuu wa timu hiyo.
Tayari tiu hiyo imeshaingia makubaliano na kiungo wa kimataifa
Tafadwaza Kutinyu kutoka timu ya Chicken Inn ya nchini Zimbabwe.
Kocha Pluijm akisaini mkataba na club hiyo rasmi kuanza kuinoa kilabu hiyo |
0 comments:
Post a Comment