Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa
Makame Mbarawa (kushoto), akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi
(Sekta ya Ujenzi) Dkt. William Nshama (katikati), wakati alipokagua na kuona
mgawanyo wa Ofisi kwa Sekta zake katika Jengo jipya la Wizara hiyo lililoko
Mtaa wa Moshi mkoani Dodoma. Kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo (Sekta
ya Ujenzi), Eng. Ven Ndyamukama.
|
0 comments:
Post a Comment