Ofisi ya
bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaimetoa taarifa rasmi ya uchaguzi
wa Bunge la Afrika Mashariki (EAC) ambapo nafasi za waujumbe tisa kutoka
Tanzania zinagombaniwa.
Uchaguzi
huo unatakiwa kufanyika katika mkutano was aba wa bunge la jamhuri kuanzia tarehe
4 April 2017 bungeni mini Dodoma.
Msimamizi
wa uchaguzi anatoa wito kwa watanzania wenye sifa kugombea nafasi hizo.
0 comments:
Post a Comment