
Inasemekana kuwa maua ya wanasiasa wawilili Fredrick Cheretei na Simon Pepee ambao wote wanatoka katika jamii ya wapokot katika kaunti ya Baringo katika bonde hilo la ufa kunaweza kuongeza kasi ya migogoro inayotokea kati ya jamii hizo mbili.
Kutokana na mauaji hayo msemaji wa Kaunti hiyo ya Baringo Bwana William Kamket amesema, "tunawapa siku mbili" endapo wakosaji ambao hawajagundulika wala kukamatwa hawatatajwa, basi hawatakuwa salama.
Kutokana na kutokea kwa matukio hayo wananchi wamemtaka rais anayekaimu kwa sasa bwana William Ruto kupitisha sheria itakayompa polisi ruhusa ya kumfyetulia risasi mhalifu.
Pia shirika la msalaba mwekundu limesitisha zoezi la utoaji misaada kutakana na kushambuliwa na baadhi ya watu wenye silaha katika maeneo ya bonde hilo.
0 comments:
Post a Comment