UCHAGUZI WA WENYEVITI WA WILAYA CCM KURUDIWA TENA Add Comment Edit Mkutano mkuu wa CCM taifa (NEC) umefuta uchaguzi wa wenyeviti katika wilaya nne baada ya kubaini wagombea waliojitokeza hawakuwa na sifa.... Read More
HAKUNA ALIYENUSURIKA KWENYE AJALI YA NDEGE DR CONGO Add Comment Edit Ndege ya kijeshi imeanguka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuwaua abiria wote waliokuwamo kwenye ndege hiyo asubuhi ya leo. ... Read More
POLEPOLE AWANYAMAZISHA KUHUSU KINANA Add Comment Edit Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Humphrey Polepole ametoa ufafanuzi kuhusu sababu zilizomfanya katibu mkuu wa chama... Read More
SERIKALI IMESAINI MKATABA WA UJENZI WA RELI YA KISASA AWAMU YA PILI KUTOKA MORO HADI DODOMA Add Comment Edit Serikali kupitia Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) imesaini mkataba wa ujenzi wa awamu ya pili wa Reli ya kisasa (STANDARD GAUGE ... Read More
SERIKALI KUENDELEA KUPUNGUZA IDADI YA VIFO VYA MAMA WAJAWAZITO Add Comment Edit Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii,Jinsia, Wazee na Watoto imejidhatiti kujenga vyumba vya upasuaji 170 kwa wajawazito ili... Read More
YALIYOANDIKWA KWENYE MAGAZETI YA LEO SEPT 26 2017 Add Comment Edit Soma yaliyoandikwa kwenye magazeti ya leo Septemba 26 2017 upate kujua yaliyojiri katika matukio, michezo, burudani, siasa nje na ndan... Read More
MUHIMBILI YAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA UPASUAJI VYENYE THAMANI YA BIL.1.5 Add Comment Edit Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa vifaa vipya kwa ajili ya vyumba viwili vya upasuaji wa watoto wenye thamani... Read More
YALIYOANDIKWA KWENYE MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 25 Add Comment Edit Soma yaliyoandikwa kwenye magazeti ya leo Septemba 25 2017 upate kujua yaliyojiri katika matukio, michezo, burudani, siasa nje ... Read More